Register
Login
Home
Home
Home
News Center
Announcements
Tenders & Business
Events
Events Calendar
News Center
News Center
Projects
The Rural Energy Fund
Projects
Projects
Resources
E-Library
Application Forms
LRTC2014 Online Proposal Form
RBF Online Grant Application Form
Resources
Resources
About Us
About REA
Organization Structure
The Rural Energy Board
About Us
About Us
Contact Us
Contact Us
Contact Us
News Center
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UTAFITI WA HALI YA UPATIKANAJI NA MATUMIZI YA NISHATI YA UMEME TANZANIA BARA KWA MWAKA 2019-2020
Wednesday, November 27, 2019
|
Number of views (5669)
|
Categories:
News
,
Press Releases
Documents to download
UTAFITI WA HALI YA UPATIKANAJI NA MATUMIZI YA NISHATI YA UMEME TANZANIA BARA KWA MWAKA 2019-2020
Serikali inafanya Utafiti wa Hali ya Upatikanaji na Matumizi ya Umeme Tanzania Bara hususan katika maeneo ya vijijini kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) pamoja na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (National Bureau of Statistics). Utafiti wa aina hii ni wa pili kufanyika ukihusisha mikoa yote ya Tanzania Bara. Utafiti wa Kwanza ulifanyika kuangalia Hali ya Upatikanaji wa Nishati ya Umeme Tanzania Bara na matokeo yalionesha kuwa upatikanaji wa umeme vijijini na mijini ulikuwa asilimia 49.3 na asilimia 67.5 sawia.
Lengo la utafiti ni kukusanya takwimu rasmi zinazohusu Hali ya Upatikanaji na Matumizi ya Nishati ya Umeme katika ngazi ya kaya na jamii, matumizi ya umeme pamoja na faida zake kwa maendeleo.
Sambamba na ukusanyaji wa takwimu hizi, utafiti huu utahusisha ukusanyaji wa takwimu za kidemografia na za kiuchumi za wanakaya zikijumuisha umri, jinsia, hali ya ndoa, elimu, shughuli za kiuchumi, matumizi ya muda na ushiriki wa jinsia zote katika shughuli mbalimbali za kiuchumi na kijamii.
Utafiti huu utahusisha jumla ya maeneo 1,250, kaya binafsi zipatazo 12,600 pamoja na viongozi wa vijiji na mitaa ambao watahojiwa kuhusu miradi mbalimbali ya maendeleo inayopatikana katika maeneo ya vijijini na mijini yaliyochaguliwa kitaalam katika mikoa yote 26 ya Tanzania Bara.
Utafiti utafanyika kwa mfumo wa kielektroniki ambapo wadadisi watatumia kishikwambi (Tablets) kuwahoji wanakaya na viongozi wa vijiji na mitaa na kisha kujaza majibu ya mahojiano hayo kwenye madodoso. Taarifa zinazokusanywa ni siri na zitatumika kitakwimu tu kwa mujibu wa sheria ya takwimu namba 9 ya mwaka 2015 na marekebisho yake ya mwaka 2019. Taarifa hizo zitatumika kwa madhumuni ya Utafiti huu pekee.
Aidha, taarifa zitakazopatikana zitatumika na Serikali na wadau mbalimbali katika mipango ya maendeleo.
Kutokana na umuhimu wa utafiti huu, natoa wito kwa viongozi wa ngazi zote kuhakikisha wanawahamasisha wananchi wao kutoa ushirikiano kwa wadadisi pindi watakapofika katika maeneo yao. Aidha, nitumie fursa hii kuwaomba Wananchi kutoa ushirikiano kwa wadadisi kwani zoezi hili ni kwa mujibu wa Sheria ya Takwimu ya Mwaka 2015 na marekebisho yake ya Mwaka 2019.
Mkurugenzi Mkuu
Wakala wa Nishati Vijijini (REA)
Jengo la LAPF, Ghorofa ya 7
P. O. Box 2153
Dodoma, Tanzania
E-Mail: info@rea.go.tz
Tel: +255 262323504, +255 262323506, +255 262323507
Documents to download
UTAFITI WA HALI YA UPATIKANAJI NA MATUMIZI YA NISHATI YA UMEME TANZANIA BARA KWA MWAKA 2019-2020
Related articles
Reviewed TEDAP Credit Line On-Lending Interest Rate
RFP: Lighting Rural Tanzania Competition 2012 (LRTC2012)
Orodha ya Miradi ya Umeme Vijijini kwa Mwaka wa Fedha 2013-14
HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA NISHATI NA MADINI: MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2013-14
MPANGO WA KULETA MATOKEO MAKUBWA SASA KWA WIZARA YA NISHATI NA MADINI
Search
Categories
RSS
Expand/Collapse
News
(79)
RSS
Expand/Collapse
Events
(14)
RSS
Expand/Collapse
Announcements
(87)
RSS
Expand/Collapse
Press Releases
(12)
RSS
Expand/Collapse
Reports
(7)
RSS
Expand/Collapse
Speeches
(3)
RSS
Expand/Collapse
Business
(53)
«
January 2021
»
Mon
Tue
Wed
Thu
Fri
Sat
Sun
28
29
30
31
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
1
2
3
4
5
6
7
Archive
2020, December
(3)
2020, November
(1)
2020, October
(1)
2020, September
(2)
2020, August
(4)
2020, May
(2)
2020, April
(1)
2020, January
(2)
2019, November
(3)
2019, October
(2)
2019, September
(2)
2019, August
(1)
2019, July
(3)
2019, June
(3)
2019, May
(1)
2019, April
(1)
2019, March
(1)
2019, February
(2)
2018, December
(2)
2018, November
(1)
2018, August
(1)
2018, June
(2)
2018, May
(3)
2018, April
(3)
2018, March
(3)
2018, February
(1)
2018, January
(1)
2017, December
(1)
2017, November
(2)
2017, October
(2)
2017, July
(4)
2017, June
(4)
2017, May
(4)
2017, April
(9)
2017, March
(1)
2017, February
(2)
2017, January
(1)
2016, December
(1)
2016, November
(2)
2016, October
(2)
2016, September
(2)
2016, August
(5)
2016, July
(3)
2016, June
(1)
2016, May
(2)
2016, April
(1)
2016, March
(3)
2016, February
(3)
2016, January
(5)
2015, December
(1)
2015, October
(3)
2015, August
(2)
2015, July
(1)
2015, March
(2)
2014, December
(1)
2014, October
(1)
2014, August
(1)
2014, May
(2)
2014, April
(2)
2014, January
(1)
2013, December
(1)
2013, October
(1)
2013, August
(3)
2013, July
(2)
2013, June
(2)
2013, May
(6)
2013, April
(1)
2013, January
(1)
2012, December
(1)
2012, September
(1)
2012, May
(1)
2012, March
(1)
2012, January
(2)
2011, December
(1)